Wednesday, December 4, 2013

KILI STARS YATINGA ROBO FAINALI CHALENJI


Kikosi cha Kilimanjaro Stars .
Timu ya taifa ya Tanzania Bara ' Kilimanjaro
Stars ' imetinga robo fainali michuano ya
Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Burundi
bao 1-0 kwenye mchezo uliopigwa Uwanja
wa Nakuru nchini Kenya muda mfupi uliopita .
Bao pekee la Kilimanjaro Stars , limewekwa
kimiani na mshambuliaji , Mbwana Samatta
dakika ya 7 ya mchezo .

No comments:

Post a Comment

.