Blog ya matukio mbali mbali habari za michezo, burdani, udaku,n.k
Nimeona nikuipie baadhi ya vipande vya filam ya nisha GUMZO ahaha lazima ucheke asee tena ucheke sana! Bado siku 4 tu kitu kiingie mtaani unakosaje sasa??hebu cheki baadhi ya vipande hapo chini maana nimecheka si kidogo!!...
Noma sanaaaaaa
Iko sauwa tena sanaaaa duuuh nimeikubali
Noma sanaaaaaa
ReplyDeleteIko sauwa tena sanaaaa duuuh nimeikubali
ReplyDelete