BAADA ya kukaa kimya kwa muda mrefu,
staa wa filamu Bongo , Yusuf Mlela
amefunguka kuwa ukimya huo
umesababishwa na malezi ya mwanaye.
Yusuf Mlela.
Akichonga na gazeti hili , Mlela alisema
anahitaji muda mwingi kukaa na mwanaye
Mwantumu kama baba hivyo majukumu
yamekuwa mengi , anawaomba mashabiki
wake kuelewa kwani ‘soon’ atakuja
kivingine .
“Muda mwingi nautumia kukaa na
mwanangu hata yale mambo ya kuzunguka
hovyo kwenye starehe hakuna tena ila
pamoja na malezi bado najiiba kuandaa
kazi zangu za filamu na muda siyo mrefu
nitaanza kuzitoa , ” alisema Mlela .
Monday, March 3, 2014
MLELA: ULEZI UMENIFICHA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment