KhAA! Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili
mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini
China akijitafutia maisha, Rehema Fabian
amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu
cha kizungu .
Miss Kiswahili mwaka 2009, Rehema Fabian ,
akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu .
Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa njia
ya simu , mnyetishaji wetu ambaye naye
yuko nchini humo alisema kuwa kwa sasa
mrembo huyo anajiachia na babu huyo
ambaye kwa kumwangalia harakaharaka
anaweza kuwa sawa na mjukuu wake .
Rehema Fabian .
“Unajua mapenzi ya wazee ni mazuri sana ,
kwanza wanajua kubembeleza , isitoshe
hawakupi msongo wa mawazo mara kwa
mara kama yalivyo mapenzi ya vijana na
ndiyo maana Rehema akaona bora ajiachie
na kibabu , ” alisema mtonyaji huyo .
Rehema Fabian .
Baada ya kupata ‘ infomesheni ’ hizo ,
Ijumaa Wikienda lilimtafuta Rehema ili
kujiridhisha kuhusiana na stori hiyo ambapo
kwa upande wake alianza kucheka kisha
kudai aachwe ale ujana.
“Ahaha! Mshaanza mambo yenu , niacheni
jamani nile ujana, ” alisema Rehema .
Monday, March 3, 2014
REHEMA FABIAN LAIVU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment