MWADADADA anayefanya poa Bongo Movies ,
Shamsa Ford amewataka wanawake
wanaomfuatilia mumewe, Dickson waache
mara moja .
Shamsa Ford .
Shamsa alisema, anakerwa sana na tabia ya
wanawake wanaomfuata mumewe kwani
hata wale wa ‘zilipendwa ’ wameanza
kujirudisha upya kitu ambacho
hatakubaliana nacho.
“Hawa wanawake hawana adabu wala aibu ,
ninawatahadharisha tu, wakae mbali na
mume wangu kabla sijawaanika hadharani
kwenye vyombo vya habari , kwanza
hawawezi kufanikiwa , najiamini, ” alisema
Shamsa.
Monday, March 3, 2014
SHAMSA: MSIMSOGELEE MUME WANGU!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment