Stori : Mwandishi Wetu
MAHABA ? Mnenguaji grade one Bongo , Asha
Sharapova na mwenzake , Titi Mwinyi
wamenaswa wakimmiminia mabusu
motomoto, mnenguaji mwenzao wa Bendi ya
Extra Bongo, Super Nyamwela .
Mnenguaji mpya wa Bendi ya Extra Bongo
‘ Wazee wa Kizigo ’, Asha Said ‘Sharapova ’ .
Tukio hilo lililogusa hisia za ‘ wataalam wa
mambo’, lilitokea hivi karibuni pande za
Sinza - Afrika Sana jijini Dar. Nyamwela
alipoulizwa kuhusiana na ishu hiyo , alisema
ni ishara ya upendo wa kawaida na hakuna
cha ziada .
Saturday, March 1, 2014
SHARAPOVA, MWENZAKE WAMMIMINIA MABUSU NYAMWELA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment